Swali: Ikiwa atakosa Hajj kisha akatoka kwenye Ihraam kwa kufanya ‘Umrah – Je, haifanani na aliyenuia kuhiji kwa Tamattu‘?
Jibu: Hili ndilo alilolitoa fatwa ´Umar. Aliwajibisha juu yao hajj inayofuata na pia kutoa fidia na aliwafananisha na aliyenuia kufanya ‘Umrah na Hajj kwa pamoja, au aliyenuia Hajj peke yake kisha akatoka kwenye Ihraam kwa kufanya ‘Umrah. Aliwafananisha nao kwa sababu anahiji na kutoa kuchinja kichinjwa, kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyowaongoza Maswahabah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25034/ما-حكم-من-فاته-الحج-ثم-تحلل-بعمرة
- Imechapishwa: 25/01/2025
Swali: Ikiwa atakosa Hajj kisha akatoka kwenye Ihraam kwa kufanya ‘Umrah – Je, haifanani na aliyenuia kuhiji kwa Tamattu‘?
Jibu: Hili ndilo alilolitoa fatwa ´Umar. Aliwajibisha juu yao hajj inayofuata na pia kutoa fidia na aliwafananisha na aliyenuia kufanya ‘Umrah na Hajj kwa pamoja, au aliyenuia Hajj peke yake kisha akatoka kwenye Ihraam kwa kufanya ‘Umrah. Aliwafananisha nao kwa sababu anahiji na kutoa kuchinja kichinjwa, kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyowaongoza Maswahabah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25034/ما-حكم-من-فاته-الحج-ثم-تحلل-بعمرة
Imechapishwa: 25/01/2025
https://firqatunnajia.com/amekosa-hajj-kisha-akatoka-kwenye-ihraam-kwa-kufanya-umrah/