Swali: Nilimwokota kondoo mdogo kisha nikamlea. Mwaka wa kwanza sikumtangaza. Kisha baada ya hapo akakaa na mimi. Ni kipi kinachonilazimu?
Jibu: Amtangaze.
Swali: Katika mwaka wa pili?
Jibu: Ndio.
Swali: Kondoo huyo akifa bado yuko kwake?
Jibu: Hakuna haja ya kumtangaza.
Swali: Hatotozwa thamani yake?
Jibu: Hapana. Midhali hajamshambulia basi hatotozwa thamani yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22291/حكم-ضالة-الغنم-لمن-التقطها
- Imechapishwa: 29/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)