Swali: Ikiwa mtu atajilazimisha nafsi yake kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) idadi maalum kwa siku kwa mfano mara 2000 au mara 5000. Je, inazingatiwa ni katika Bid´ah?
Jibu: Ikiwa ameweka nadhiri basi atalazimika kutekeleza nadhiri yake kwa sababu ameweka nadhiri ya utiifu. Kama hakuweka nadhiri, basi amswalie Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa kiasi atachoweza pasi na kuweka kikomo cha idadi maalum.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 29/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)