Swali: Ameingia ndani ya Ihraam kutoka kwenye mji wake kisha akafanya moja ya mambo yaliyokatazwa katika Ihraam. Je, analazimika kutoa fidia?
Jibu: Ndio, anatakiwa kutoa fidia ikiwa alifanya makusudi. Lakini ikiwa alisahau, basi hakuna kinachomlazimu.
Swali: Je, hata kama ilikuwa kabla ya kufika kwenye kituo?
Jibu: Hata kama ilikuwa kabla ya kufika kwenye kituo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24945/حكم-من-احرم-ببلده-واتى-محظورا-قبل-الميقات
- Imechapishwa: 10/01/2025
Swali: Ameingia ndani ya Ihraam kutoka kwenye mji wake kisha akafanya moja ya mambo yaliyokatazwa katika Ihraam. Je, analazimika kutoa fidia?
Jibu: Ndio, anatakiwa kutoa fidia ikiwa alifanya makusudi. Lakini ikiwa alisahau, basi hakuna kinachomlazimu.
Swali: Je, hata kama ilikuwa kabla ya kufika kwenye kituo?
Jibu: Hata kama ilikuwa kabla ya kufika kwenye kituo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24945/حكم-من-احرم-ببلده-واتى-محظورا-قبل-الميقات
Imechapishwa: 10/01/2025
https://firqatunnajia.com/ameingia-kwenye-ihraam-katika-mji-wake-na-kufanya-yaliyokatazwa-kabla-ya-kufika-kwenye-kituo/