Swali: Wanazuoni wanajengea hoja kwa kutumia Hadiyth hii:
“Hakika unayo haki kwa Mola wako kwa kile ulichotoa sharti wakati wa kuanzisha I´tikaaf.”
Je, jambo hili linafaa?”
Jibu: Kanuni ni kwamba ´ibaadah ni kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah.
I´tikaaf si jambo la lazima. Ikiwa mtu atatoka kwenye I´tikaaf, hilo si jambo baya, kwani I´tikaaf ni ´ibaadah ya kujitolea na yenye kupendeza. Ikiwa ataamua kuisimamisha, hapana dhambi kwake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24949/هل-يجوز-الاشتراط-في-الاعتكاف
- Imechapishwa: 10/01/2025
Swali: Wanazuoni wanajengea hoja kwa kutumia Hadiyth hii:
“Hakika unayo haki kwa Mola wako kwa kile ulichotoa sharti wakati wa kuanzisha I´tikaaf.”
Je, jambo hili linafaa?”
Jibu: Kanuni ni kwamba ´ibaadah ni kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah.
I´tikaaf si jambo la lazima. Ikiwa mtu atatoka kwenye I´tikaaf, hilo si jambo baya, kwani I´tikaaf ni ´ibaadah ya kujitolea na yenye kupendeza. Ikiwa ataamua kuisimamisha, hapana dhambi kwake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24949/هل-يجوز-الاشتراط-في-الاعتكاف
Imechapishwa: 10/01/2025
https://firqatunnajia.com/kuweka-sharti-katika-itikaaf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)