Swali: Mtu aishi kwenye nyumba ambayo ameinunua kwa mali ya haramu na baadae akatubu kwa Allaah baada ya miaka mitano na kuanza kufuata Sunnah?
Jibu: Atoe Swadaqah kwa kiasi cha mali ili aweze kujinasua na mali ya haramu. Aishi kwenye nyumba akifanya hivo. Hivyo nyumba inakuwa n ihalali kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331103.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)