Ni nina nani waliopotosha utangulizi wa “ar-Risaalah”?

Swali: Maalikiyyah waliokuja nyuma wamezungumzia dibaji hii na kusema kuwa Wahhaabiyyah wameupotosha…

Jibu: Hapana, wao ndio wameupotosha. Wahhaabiyyah hawakuupotosha. Ni Maalikiyyah waliokuja nyuma ndio waliupotosha. Wameufasiri ili uweze kuafikiana na matamanio yao. Ufafanuzi wake wa zamani ni mzuri wakati ufafanuzi wake wa nyuma una upotoshaji sana. Wanataka uendane na madhehebu na ´Aqiydah yao.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331103.mp3
  • Imechapishwa: 17/06/2015