Swali: al-Mubdi´, Mwanzilishi ni katika majina ya Allaah (Subhaaah)?
Jibu: Ni Badiy´:
بَدِيعُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ
“Mwanzilishi wa mbingu na ardhi.” (06:101)
Hakukuja tamko al-Mubdi´. Mtu anaweza kulisema kwa njia ya maelezo ya kwamba yeye ndiye Aliyevianzisha na Kuviumba. Kwa njia ya maelezo ni sawa. Ama kufanya katika Majina ya Allaah ni al-Mubdi´ haikuthibiti. Lililothibiti ni Badiy´, mwanzilishi wa mbingu na ardhi na Mwenye kuendesha mbingu na ardhi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2145
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: al-Mubdi´, Mwanzilishi ni katika majina ya Allaah (Subhaaah)?
Jibu: Ni Badiy´:
بَدِيعُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ
“Mwanzilishi wa mbingu na ardhi.” (06:101)
Hakukuja tamko al-Mubdi´. Mtu anaweza kulisema kwa njia ya maelezo ya kwamba yeye ndiye Aliyevianzisha na Kuviumba. Kwa njia ya maelezo ni sawa. Ama kufanya katika Majina ya Allaah ni al-Mubdi´ haikuthibiti. Lililothibiti ni Badiy´, mwanzilishi wa mbingu na ardhi na Mwenye kuendesha mbingu na ardhi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2145
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/al-mubdi-ni-katika-majina-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)