Swali: Kuna wanaosema kuwa Ashaa´irah ni asilimia 95 ya waislamu na kuna wanachuoni wengi na wafikiriaji wengi wa waislamu wanaojinasibisha nao. Ni vipi watakuwa upotofuni?
Jibu: Kinachozingatiwa sio wingi ndugu. Kinachozingatiwa ni nani aliye katika haki hata kama atakuwa ni mtu mmoja peke yake. Kuhusu ambaye hayuko katika haki, hata kama watakuwa ni watu wengi, hawapewi uzito wowote. Amesema (Ta´ala):
وَإِن تُطِعْ أَكْثَرَ مَن فِي الْأَرْضِ يُضِلُّوكَ عَن سَبِيلِ اللَّـهِ
“Ukiwatii wengi walioko katika ardhi, watakupoteza na njia ya Allaah.” (06:116)
Kinachozingatiwa ni yule anayefuata haki na njia sahihi. Wingi hauzingatiwi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2145
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Kuna wanaosema kuwa Ashaa´irah ni asilimia 95 ya waislamu na kuna wanachuoni wengi na wafikiriaji wengi wa waislamu wanaojinasibisha nao. Ni vipi watakuwa upotofuni?
Jibu: Kinachozingatiwa sio wingi ndugu. Kinachozingatiwa ni nani aliye katika haki hata kama atakuwa ni mtu mmoja peke yake. Kuhusu ambaye hayuko katika haki, hata kama watakuwa ni watu wengi, hawapewi uzito wowote. Amesema (Ta´ala):
وَإِن تُطِعْ أَكْثَرَ مَن فِي الْأَرْضِ يُضِلُّوكَ عَن سَبِيلِ اللَّـهِ
“Ukiwatii wengi walioko katika ardhi, watakupoteza na njia ya Allaah.” (06:116)
Kinachozingatiwa ni yule anayefuata haki na njia sahihi. Wingi hauzingatiwi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2145
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/vipi-ashaairah-watakuwa-upotofuni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)