Ni jambo limekokotezwa sana kuchinja ´Iyd-ul-Adhwhaa. Haya ndio maoni ya madhehebu pasi na mashaka yoyote. Hanaabilah wengi wana maoni mengine na yamesemwa na Ahmad. Wengi wao wanaona kuwa ni jambo la kukata. Mtunzi wa “ar-Ri´aayah” amesema:
“Imechukizwa kuacha kuchinja ikiwa mtu ana uwezo. Ndivo alivosema Ahmad.”
Ahmad anayo maoni mengine yanayosema kuwa ni lazima akiwa mtu ni tajiri. Wengi wameyapokea.
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin Sulaymaan al-Mardaawiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Inswaaf (4/105)
- Imechapishwa: 11/07/2020
Ni jambo limekokotezwa sana kuchinja ´Iyd-ul-Adhwhaa. Haya ndio maoni ya madhehebu pasi na mashaka yoyote. Hanaabilah wengi wana maoni mengine na yamesemwa na Ahmad. Wengi wao wanaona kuwa ni jambo la kukata. Mtunzi wa “ar-Ri´aayah” amesema:
“Imechukizwa kuacha kuchinja ikiwa mtu ana uwezo. Ndivo alivosema Ahmad.”
Ahmad anayo maoni mengine yanayosema kuwa ni lazima akiwa mtu ni tajiri. Wengi wameyapokea.
Muhusika: Imaam ´Aliy bin Sulaymaan al-Mardaawiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Inswaaf (4/105)
Imechapishwa: 11/07/2020
https://firqatunnajia.com/al-mardaawiy-kuhusu-hukumu-ya-kuchinja-katika-iyd-ul-adhwhaa/