Swali: Je, inajuzu kwangu kusoma Qur-aan ikiwa sina janaba lakini hata hivyo sikutawadha? Je, inajuzu kusoma ilihali sikuelekea Qiblah?
Jibu: Inajuzu kusoma Qur-aan kwa asiyekuwa na janaba hata kama hakutawadha na hakuelekea Qiblah. Lakini hata hivyo usiguse msahafu isipokuwa mpaka uwe uko na twahara kutokana na hadathi kubwa na ndogo.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (78/04)
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Kusoma Qur-aan kwa aliyetayamamu janaba
Swali: Je, inajuzu kwa aliyefanya Tayammum kutokana na janaba kugusa na kusoma ndani ya msahafu? Jibu: Ndio. Ikiwa hana maji au yuko na maji lakini haiwezekani kuyatumia, Tayammum inachukua nafasi ya maji. Hivyo aiguse msahafu.
In "Wudhuu´"
al-Albaaniy mwanamke kusoma Qur-aan bila ya mtandio
Swali: Inajuzu kwa mwanamke kusoma Qur-aan bila ya mtandio? Jibu: Ndio, inajuzu. Kusoma Qur-aan ni moja katika matendo mazuri na matukufu. Shari´ah haikuweka masharti wala vidhibiti vyovyote. Bali amesema wakati alipokuwa akiwasifu waja Wake wema na wachaji: الَّذِينَ يَذْكُرُونَ اللَّـهَ قِيَامًا وَقُعُودًا وَعَلَىٰ جُنُوبِهِمْ "Wale wanaomdhukuru Allaah hali ya kusimama na hali…
In "Kugusa Qur-aan pasina twahara"
Kusikiliza Qur-aan na kusoma Adhkaar kwa mwenye janaba
https://www.youtube.com/watch?v=8-sjgoLyBsI Swali: Ipi hukumu ya kusikiliza Qur-aan na kusoma Adhkaar naye yuko katika janaba? Jibu: Kusikiliza Qur-aan na kusoma Adhkaar hakuna ubaya inajuzu. Ila Qur-aan asiisome naye yuko katika janaba.
In "´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy"