Swali: Ni lini mtu hupewa udhuru kwa ujinga?
Jibu: Pale ambapo anakuwa hana yeyote wa kumfunza. Ikiwa hana yeyote wa kumfunza anapewa udhuru mpaka pale atapopata wa kumfunza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13958
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Ni lini mtu hupewa udhuru kwa ujinga?
Jibu: Pale ambapo anakuwa hana yeyote wa kumfunza. Ikiwa hana yeyote wa kumfunza anapewa udhuru mpaka pale atapopata wa kumfunza.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13958
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-ujinga-ni-udhuru-11/