Swali: Mwenye kuswali kichwa wazi swalah yake ni pungufu? Je, Maswahabah walikuwa wakifunika vichwa vyao wakati wa kuswali?
Jibu: Kufunika kichwa ni katika ukamilifu:
خُذُوا زِينَتَكُمْ عِندَ كُلِّ مَسْجِدٍ
“Chukueni mapambo yenu katika kila swalah.” (07:31)
Pambo la wajibu ni kufunika ´Awrah. Chenye kuzidi hapo kimependekezwa. Kila ambavyo mtu atajipamba imependekezwa. Miongoni mwa hayo ni mwanaume kufunika kichwa chake. Ni jambo limependekezwa kwa kuwa ni katika ukamilifu na kujipamba.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13958
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Mwenye kuswali kichwa wazi swalah yake ni pungufu? Je, Maswahabah walikuwa wakifunika vichwa vyao wakati wa kuswali?
Jibu: Kufunika kichwa ni katika ukamilifu:
خُذُوا زِينَتَكُمْ عِندَ كُلِّ مَسْجِدٍ
“Chukueni mapambo yenu katika kila swalah.” (07:31)
Pambo la wajibu ni kufunika ´Awrah. Chenye kuzidi hapo kimependekezwa. Kila ambavyo mtu atajipamba imependekezwa. Miongoni mwa hayo ni mwanaume kufunika kichwa chake. Ni jambo limependekezwa kwa kuwa ni katika ukamilifu na kujipamba.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13958
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-mwanamme-kufunika-kichwa-katika-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)