al-Fawzaan kuhusu kufanya Tabarruk kwenye kuta za Ka´bah

Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya Tabarruk kwenye kuta za Ka´bah na ni shirki kubwa?

Jibu: Sio shirki kubwa lakini ni jambo lisilokuwa na msingi…

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-20.mp3
  • Imechapishwa: 19/08/2020