Swali: Je, wale wanaosema kwamba kuacha swalah ni kufuru ndogo na sio kubwa inayomdumisha mwenye nayo Motoni ni watu wa Bid´ah?
Jibu: Hapana, sio watu wa Bid´ah. Haya yamesemwa na baadhi ya wanachuoni na maimamu. Lakini hata hivyo ni makosa. Dalili sahihi zinaonyesha makosa ya kauli hii pasi na kujali aliyeisema. Lakini haifikii kiasi cha kukufurishwa au kuritadishwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-20.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, wale wanaosema kwamba kuacha swalah ni kufuru ndogo na sio kubwa inayomdumisha mwenye nayo Motoni ni watu wa Bid´ah?
Jibu: Hapana, sio watu wa Bid´ah. Haya yamesemwa na baadhi ya wanachuoni na maimamu. Lakini hata hivyo ni makosa. Dalili sahihi zinaonyesha makosa ya kauli hii pasi na kujali aliyeisema. Lakini haifikii kiasi cha kukufurishwa au kuritadishwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-20.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/wasiomkufurisha-mwenye-kuswali-ni-watu-wa-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)