Ahl-us-Sunnah ndio wenye kukabiliana na Hizbiyyuun ambao wamejificha nyuma ya ´Aliy ´Abdullaah Swaalih. Wao ndio wenye kukabaliana na Takfiyriyyuun. Wao ndio wenye kukabaliana na waharibifu. Wao ndio wenye kukabaliana na watu wote wenye kufuata batili na ni katika ´Aqiydah yao kutomfanyia uasi mtawala. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Lau watapewa bay´ah makhaliyfah wawili basi muueni yule wa mwisho wao.” Ameipokea Muslim.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Akiwajieni mtu ambaye anataka kufarikanisha umoja wenu, basi muueni yoyote awae.”
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/sounds.php?sound_id=18
- Imechapishwa: 26/08/2020
Ahl-us-Sunnah ndio wenye kukabiliana na Hizbiyyuun ambao wamejificha nyuma ya ´Aliy ´Abdullaah Swaalih. Wao ndio wenye kukabaliana na Takfiyriyyuun. Wao ndio wenye kukabaliana na waharibifu. Wao ndio wenye kukabaliana na watu wote wenye kufuata batili na ni katika ´Aqiydah yao kutomfanyia uasi mtawala. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Lau watapewa bay´ah makhaliyfah wawili basi muueni yule wa mwisho wao.” Ameipokea Muslim.
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Akiwajieni mtu ambaye anataka kufarikanisha umoja wenu, basi muueni yoyote awae.”
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/sounds.php?sound_id=18
Imechapishwa: 26/08/2020
https://firqatunnajia.com/ahl-us-sunnah-ndio-wenye-kukabaliana-na-wapotevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)