Swali: Mtu akisikia kuwa imamu amemaliza kuswali na akajua kuwa msikiti mwingine anaweza kuwahi kuswali pamoja nao. Je, anatakiwa kwenda huko?
Jibu: Ikiwa ni wepesi kwake aende na kuswali na mkusanyiko. Hapo ni pale ambapo ikiwa anaweza na anajua. Lakini ikiwa hajui au ana shaka, basi aswali na ndugu ambao itakuwa wepesi au aswali peke yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22701/هل-يذهب-من-فاتته-الجماعة-لمسجد-اخر
- Imechapishwa: 03/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)