Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anachelewesha swalah makusudi?
Jibu: Aonywe na afunzwe kwamba ni dhambi na khatari na kwamba ni katika kufuru. Kwa sababu wako wanazuoni wenye kuona kwamba akichelewesha mpaka ukatoka nje wakati wake basi anazingatiwa kuwa ni kafiri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22694/ما-حكم-من-يتعمد-تاخير-الصلاة
- Imechapishwa: 03/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)