Swali: Adhkaar za wakati wa kulala zinasomwa usiku na mchana?
Jibu: Haikupokelewa isipokuwa katika usingizi wa usiku.
Swali: Mtu akilala usingizi wa mchana masaa tano au sita asisome Adhkaar za wakati wa kulala?
Jibu: Hapana neno akizisoma. Yote ni kheri tu. Hata hivyo imepokelewa kuhusu usingizi wa usiku. Hapana vibaya akifanya kitu juu ya usingizi wa mchana.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23338/هل-تقال-اذكار-النوم-في-الليل-والنهار
- Imechapishwa: 29/12/2023
Swali: Adhkaar za wakati wa kulala zinasomwa usiku na mchana?
Jibu: Haikupokelewa isipokuwa katika usingizi wa usiku.
Swali: Mtu akilala usingizi wa mchana masaa tano au sita asisome Adhkaar za wakati wa kulala?
Jibu: Hapana neno akizisoma. Yote ni kheri tu. Hata hivyo imepokelewa kuhusu usingizi wa usiku. Hapana vibaya akifanya kitu juu ya usingizi wa mchana.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23338/هل-تقال-اذكار-النوم-في-الليل-والنهار
Imechapishwa: 29/12/2023
https://firqatunnajia.com/adhkaar-za-wakati-wa-kulala-kuzisoma-mchana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)