Swali: Je, msomaji amuadhinie aliyepatwa na jini wakati wa kumsomea?
Jibu: Sijui ubaya wowote. Natarajia ataondoka… lakini muhimu ni kumuonya na kumtahadharisha na kumbainishia uharamu wa kumdhulumu, kama ni muislamu amche Allaah na kama sio muislamu basi atubie kwa Allaah… ampe mawaidha kwa kumkumbusha na kumukhofisha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23692/حكم-الاذان-عند-القراءة-على-الممسوس
- Imechapishwa: 05/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)