Swali: Ni kwa nini shaytwaan hukimbia kunapoadhiniwa na hakimbii wakati kunaposomwa Qur-aan?
Jibu: Imetajwa katika Hadiyth ya kwamba hukimbia kunaposomwa Qur-aan pia:
“Hakika shaytwaan huikimbia nyumba ambayo kunasomwa ndani yake Suurah “al-Baqarah”.”
Swali: Je, hurudia baada ya adhaana kusikiliza swalah pamoja na wenye kuswali?
Jibu: Kwa ajili ya kuwashawishi – Allaah amlaani!
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23693/هل-يفر-الشيطان-من-القران-مثل-الاذان
- Imechapishwa: 05/04/2024
Swali: Ni kwa nini shaytwaan hukimbia kunapoadhiniwa na hakimbii wakati kunaposomwa Qur-aan?
Jibu: Imetajwa katika Hadiyth ya kwamba hukimbia kunaposomwa Qur-aan pia:
“Hakika shaytwaan huikimbia nyumba ambayo kunasomwa ndani yake Suurah “al-Baqarah”.”
Swali: Je, hurudia baada ya adhaana kusikiliza swalah pamoja na wenye kuswali?
Jibu: Kwa ajili ya kuwashawishi – Allaah amlaani!
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23693/هل-يفر-الشيطان-من-القران-مثل-الاذان
Imechapishwa: 05/04/2024
https://firqatunnajia.com/shaytwaan-wakati-kunaposomwa-qur-aan-na-kuadhiniwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)