Swali: Ikiwa tuko kazini na kuna umbali mfupi kutoka msikitini – je, tuadhini?
Jibu: Ni lazima kwenu kuswali msikitini pamoja na mkusanyiko. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kusikia adhaana na asiitikie basi hana swalah isipokuwa akiwa na udhuru.”
Ikiwa mtazuiwa basi imewekwa katika Shari´ah juu yenu kutoa adhaana na kukimu maeneo yenu kutokana na ueneaji wa dalili za ki-Shari´ah juu ya hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/361)
- Imechapishwa: 25/09/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket