Swali: Je, imeharamishwa kuzungumza ndani ya swalah ya khofu kwa ambaye analinda?
Jibu: Ikiwa ni ndani ya swalah basi asizungumze isipokuwa kwa yale yanayohusiana na adui. Lakini akiwa nje ya swalah inafaa kwake kuzungumza. Kwa sababu swalah ya khofu ina mbalimbali. Wakati fulani kikosi kundi wanakuwa wamelinda na wamepiga Takbiyr nyuma ya imamu. Katika hali hii kusizungumzwe isipokuwa wakati wa haja. Ama akiwa ni mwenye kulinda na hajaingia ndani ya swalah inafaa kwake kuzungumza.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 24/09/2021
Swali: Je, imeharamishwa kuzungumza ndani ya swalah ya khofu kwa ambaye analinda?
Jibu: Ikiwa ni ndani ya swalah basi asizungumze isipokuwa kwa yale yanayohusiana na adui. Lakini akiwa nje ya swalah inafaa kwake kuzungumza. Kwa sababu swalah ya khofu ina mbalimbali. Wakati fulani kikosi kundi wanakuwa wamelinda na wamepiga Takbiyr nyuma ya imamu. Katika hali hii kusizungumzwe isipokuwa wakati wa haja. Ama akiwa ni mwenye kulinda na hajaingia ndani ya swalah inafaa kwake kuzungumza.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 24/09/2021
https://firqatunnajia.com/kuzungumza-wakati-wa-swalah-ya-khofu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)