Swali: Je, kuswaliwe ijumaa endapo siku ya ´iyd itaafikiana na siku ya ijumaa au itatosheleza kuswali swalah ya Dhuhr?
Jibu: Siku ya ijumaa ikiafikiana na siku ya ´iyd basi ijumaa itadondoka kwa yule aliyehudhuria ´iyd. Isipokuwa imamu haidondoki kutoka kwake. Swalah ya ijumaa itadondoka kwa ambaye amehudhuria ´iyd. Lakini ataiswali kama Dhuhr. Na ikiwa atahudhuria na akaswali ijumaa ndio bora. Kwa ambaye hakuhudhuria swalah ya ´iyd itamlazimu kuswali swalah ya ijumaa.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 24/09/2021
Swali: Je, kuswaliwe ijumaa endapo siku ya ´iyd itaafikiana na siku ya ijumaa au itatosheleza kuswali swalah ya Dhuhr?
Jibu: Siku ya ijumaa ikiafikiana na siku ya ´iyd basi ijumaa itadondoka kwa yule aliyehudhuria ´iyd. Isipokuwa imamu haidondoki kutoka kwake. Swalah ya ijumaa itadondoka kwa ambaye amehudhuria ´iyd. Lakini ataiswali kama Dhuhr. Na ikiwa atahudhuria na akaswali ijumaa ndio bora. Kwa ambaye hakuhudhuria swalah ya ´iyd itamlazimu kuswali swalah ya ijumaa.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 24/09/2021
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-iyd-ikiangukia-siku-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)