Swali: Wakati mwingine watu wa kawaida wanamuona mtu anasikiliza nyimbo na wakati huohuo anaswali ambapo wanamwambia aache kuswali muda wa kuwa anasikiliza nyimbo na kwamba ni miongoni mwa wanafiki.
Jibu: Hapana, hili ni kosa. Aswali na ahifadhi vipindi vya swalah na Allaah amwongoze. Ajiepushe na yale aliyoharamisha Allaah na swalah itamzuia kutokana na hili akiichunga. Mwishowe ataacha mambo haya:
إِنَّ الصَّلَاةَ تَنْهَى عَنِ الْفَحْشَاءِ وَالْمُنْكَرِ
“Hakika si vyenginevyo swalah inazuia machafu na maovu.”[1]
Yule mwenye kuihifadhi vilivyo basi itamzuia kutokana na shari.
[1] 02:03
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22519/حكم-من-يقول-لمن-يسمع-الاغاني-لا-تصلي
- Imechapishwa: 17/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)