91 – Abu Qataadah amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
”Mwenye kumwacha mdaiwa wake au akamsamehe, basi atakuwa katika kivuli cha ´Arshi siku ya Qiyaamah.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh. Ameipokea Ahmad na wengineo. Imetajwa katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wa-Tarhiyb” (2/37).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 109
- Imechapishwa: 05/07/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
91 – Abu Qataadah amesimulia kwamba amemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
”Mwenye kumwacha mdaiwa wake au akamsamehe, basi atakuwa katika kivuli cha ´Arshi siku ya Qiyaamah.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh. Ameipokea Ahmad na wengineo. Imetajwa katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wa-Tarhiyb” (2/37).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 109
Imechapishwa: 05/07/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/93-anayedai-katika-kivuli-cha-arshi/