90 – ´Amr al-Bikaaliy[1] amesimulia kwamba ´Abdullaah bin ´Amr amesema:
”Haramu ni haramu mpaka katika ´Arshi.”
[1] Ni unasibisho wa kabila la Bikaal kutoka Humayr. Kwa mujibu wa maoni yenye nguvu ni kwamba ´Amr huyu alikuwa ni Swahabah. Kun-ya yake ni Abu ´Uthmaan. al-´Ijliy na Abu Zur´ah ad-Dimashqiy wamemjumuisha katika wanafunzi wa Maswahabah wenye kuaminika – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Ahmad (1/399) amesimulia Hadiyth nyingine kupitia kwake, kutoka kwa Ibn Mas´uud, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 109
- Imechapishwa: 05/07/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
90 – ´Amr al-Bikaaliy[1] amesimulia kwamba ´Abdullaah bin ´Amr amesema:
”Haramu ni haramu mpaka katika ´Arshi.”
[1] Ni unasibisho wa kabila la Bikaal kutoka Humayr. Kwa mujibu wa maoni yenye nguvu ni kwamba ´Amr huyu alikuwa ni Swahabah. Kun-ya yake ni Abu ´Uthmaan. al-´Ijliy na Abu Zur´ah ad-Dimashqiy wamemjumuisha katika wanafunzi wa Maswahabah wenye kuaminika – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Ahmad (1/399) amesimulia Hadiyth nyingine kupitia kwake, kutoka kwa Ibn Mas´uud, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 109
Imechapishwa: 05/07/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/94-haramu-ni-haramu-mpaka-katika-arshi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)