Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Tafsiri inayoweka wazi haya, ni Kauli Yake (Ta´ala):
وَإِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ إِنَّنِي بَرَاءٌ مِّمَّا تَعْبُدُونَ إِلَّا الَّذِي فَطَرَنِي فَإِنَّهُ سَيَهْدِينِ وَجَعَلَهَا كَلِمَةً بَاقِيَةً فِي عَقِبِهِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ
“Pindi Ibraahiym alipomwambia baba yake na watu wake: “Hakika mimi najitenga mbali na yale mnayoyaabudu, isipokuwa Yule aliyeniumba, basi hakika Yeye Ataniongoa! Na akalifanya neno hili kuwa ni lenye kubakia katika kizazi chake ili wapate kurejea.”[1]
MAELEZO
Kitu bora kinachoweza kuifasiri Qur-aan ni Qur-aan yenyewe. Allaah amefasiri maana ya shahaadah ndani ya Qur-aan pale ambapo Allaah alisema kuwa Ibraahiym (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
إِنَّنِي بَرَاءٌ
“Hakika mimi najitenga mbali… “
Haya ni makanusho.
إِلَّا الَّذِي فَطَرَنِ
“… isipokuwa Yule aliyeniumba… “
Bi maana isipokuwa Allaah. Haya ni mathibitisho. Aayah hii inathibitisha maana ya shahaadah kikamilifu.
[1] 43:26-28
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 169
- Imechapishwa: 07/01/2021
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Tafsiri inayoweka wazi haya, ni Kauli Yake (Ta´ala):
وَإِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ إِنَّنِي بَرَاءٌ مِّمَّا تَعْبُدُونَ إِلَّا الَّذِي فَطَرَنِي فَإِنَّهُ سَيَهْدِينِ وَجَعَلَهَا كَلِمَةً بَاقِيَةً فِي عَقِبِهِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ
“Pindi Ibraahiym alipomwambia baba yake na watu wake: “Hakika mimi najitenga mbali na yale mnayoyaabudu, isipokuwa Yule aliyeniumba, basi hakika Yeye Ataniongoa! Na akalifanya neno hili kuwa ni lenye kubakia katika kizazi chake ili wapate kurejea.”[1]
MAELEZO
Kitu bora kinachoweza kuifasiri Qur-aan ni Qur-aan yenyewe. Allaah amefasiri maana ya shahaadah ndani ya Qur-aan pale ambapo Allaah alisema kuwa Ibraahiym (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
إِنَّنِي بَرَاءٌ
“Hakika mimi najitenga mbali… “
Haya ni makanusho.
إِلَّا الَّذِي فَطَرَنِ
“… isipokuwa Yule aliyeniumba… “
Bi maana isipokuwa Allaah. Haya ni mathibitisho. Aayah hii inathibitisha maana ya shahaadah kikamilifu.
[1] 43:26-28
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 169
Imechapishwa: 07/01/2021
https://firqatunnajia.com/85-tafsiri-inayobainisha-maana-ya-shahaadah-ya-kwanza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)