Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ihsaan
MAELEZO
Hii ndio ngazi ya tatu ambayo ni Ihsaan. Ni kule mja kufanya vizuri kwa yale yaliyoko baina yake yeye na Allaah wakati wa kumwabudu Allaah (´Azza wa Jall). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametaja Ihsaan kwa kusema:
“Ihsaan ni kumwabudu Allaah kama vile unamuona na ikiwa wewe humuoni basi tambua kuwa Yeye anakuona.”[1]
Bi maana unatakiwa uwe na elimu ya yakini kwamba Allaah anakuona popote unapokuwa.
[1] al-Bukhaariy (50) na Muslim (09 na 10).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 161
- Imechapishwa: 05/01/2021
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ihsaan
MAELEZO
Hii ndio ngazi ya tatu ambayo ni Ihsaan. Ni kule mja kufanya vizuri kwa yale yaliyoko baina yake yeye na Allaah wakati wa kumwabudu Allaah (´Azza wa Jall). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametaja Ihsaan kwa kusema:
“Ihsaan ni kumwabudu Allaah kama vile unamuona na ikiwa wewe humuoni basi tambua kuwa Yeye anakuona.”[1]
Bi maana unatakiwa uwe na elimu ya yakini kwamba Allaah anakuona popote unapokuwa.
[1] al-Bukhaariy (50) na Muslim (09 na 10).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 161
Imechapishwa: 05/01/2021
https://firqatunnajia.com/79-ihsaan-ambayo-ni-ngazi-ya-tatu-ya-dini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)