76 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkono wa kuume wa Allaah (´Azza wa Jall) umejaa. Haupungui kwa kutoa mchana na usiku. Mnaonaje yale Aliyotoa tangu aumbe mbingu na ardhi pasi na kupungua chochote kilichoko katika mkono Wake wa kuume? ´Arshi Yake iko juu ya maji na kwenye mkono Wake mwingine kuna mzani ambao ndiyo anashusha na kupandisha.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 115
- Imechapishwa: 30/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
76 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkono wa kuume wa Allaah (´Azza wa Jall) umejaa. Haupungui kwa kutoa mchana na usiku. Mnaonaje yale Aliyotoa tangu aumbe mbingu na ardhi pasi na kupungua chochote kilichoko katika mkono Wake wa kuume? ´Arshi Yake iko juu ya maji na kwenye mkono Wake mwingine kuna mzani ambao ndiyo anashusha na kupandisha.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 115
Imechapishwa: 30/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/77-mkono-wa-kuume-wa-allaah-umejaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)