Swali 63: Ni nani ambaye Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimteua kama kiongozi wa hijjah mwaka huo?
Jibu: Alimteua Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) kama msimamizi wa hijjah ambapo akamwamrisha ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) kutangaza mwanzo wa Suurah “at-Tawbah”, na kwamba asiwepo mshirikina yeyote ambaye atahiji mwaka unaofuata na asitufu Nyumba yeyote aliye uchi. Mwaka huo unaitwa mwaka wa Wajumbe kutokana na wingi wao.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 127
- Imechapishwa: 29/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)