60 – Sulaymaan bin Harb ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia: Sa´iyd al-Jariyriy ametuhadithia, kutoka kwa Zayd bin ´Abdillaah, ambaye amesema:
”Walikuwa wanapendekeza mtu kusema:
اللهم صل على محمد النَّبِيّ الأُمِّيّ
“Ee Allaah! Msifu Muhammad Mtume ambaye si msomi!”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh lakini imekatika. Zayd bin ´Abdillaah ni katika tabaka la wanafunzi wa Maswahabah. Katika tabaka hili alikuwepo Zayd bin ´Abdillaah bin ´Umar bin al-Khattwaab, kwa hivyo kuna uwezekano ndiye. Hata hivyo hakutajwa mpokezi yeyote kutoka kwa Sa´iyd al-Jariyriy. Kuna uwezkeano vilevile ikawa ni kosa cha uchapaji na inatakiwa iwe Yaziyd badala ya Zayd. Katika hali hiyo Yaziyd bin ´Abdillaah bin ash-Shukhayr al-´Aamir, ni mmoja katika wapokezi wa al-Jariyriy wanaotambulika – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Kisha nihakikisha uwezekano huu wa pili wakati nilipomuona Ibn-ul-Qayyim akinakili cheni hiyohiyo katika “Jalaa-ul-Afhaam”, uk. 76, kwa Yaziyd bin ´Abdillaah.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 58-59
- Imechapishwa: 24/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
60 – Sulaymaan bin Harb ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia: Sa´iyd al-Jariyriy ametuhadithia, kutoka kwa Zayd bin ´Abdillaah, ambaye amesema:
”Walikuwa wanapendekeza mtu kusema:
اللهم صل على محمد النَّبِيّ الأُمِّيّ
“Ee Allaah! Msifu Muhammad Mtume ambaye si msomi!”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh lakini imekatika. Zayd bin ´Abdillaah ni katika tabaka la wanafunzi wa Maswahabah. Katika tabaka hili alikuwepo Zayd bin ´Abdillaah bin ´Umar bin al-Khattwaab, kwa hivyo kuna uwezekano ndiye. Hata hivyo hakutajwa mpokezi yeyote kutoka kwa Sa´iyd al-Jariyriy. Kuna uwezkeano vilevile ikawa ni kosa cha uchapaji na inatakiwa iwe Yaziyd badala ya Zayd. Katika hali hiyo Yaziyd bin ´Abdillaah bin ash-Shukhayr al-´Aamir, ni mmoja katika wapokezi wa al-Jariyriy wanaotambulika – na Allaah ndiye mjuzi zaidi. Kisha nihakikisha uwezekano huu wa pili wakati nilipomuona Ibn-ul-Qayyim akinakili cheni hiyohiyo katika “Jalaa-ul-Afhaam”, uk. 76, kwa Yaziyd bin ´Abdillaah.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 58-59
Imechapishwa: 24/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/60-athar-walikuwa-wanapendekeza-mtu-kusema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)