Mfungaji anatakiwa kujiepusha na ghushi katika miamala yote kuanzia biashara, ukodishaji, uundaji, uwekaji rehani, kupeana nasaha na mambo mengine ya mashauriano. Kwani hakika kufanya ghushi ni katika dhambi kubwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amejiweka mbali na yule mwenye kufanya hivo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kutufanyia ghushi hatokani na sisi.”
Katika tamko lingine imekuja:
“Mwenye kufanya ghushi hatokani nami.”
Ameipokea Muslim.
Ghushi ni hadaa, usaliti, kupoteza amana na kupoteza uaminifu kati ya watu. Kila chumo linalotokana na ghushi basi hilo ni chumo baya na la haramu. Halimzidishii mwenye nalo isipokuwa kuwa mbali zaidi na Allaah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 71
- Imechapishwa: 23/04/2021
Mfungaji anatakiwa kujiepusha na ghushi katika miamala yote kuanzia biashara, ukodishaji, uundaji, uwekaji rehani, kupeana nasaha na mambo mengine ya mashauriano. Kwani hakika kufanya ghushi ni katika dhambi kubwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amejiweka mbali na yule mwenye kufanya hivo. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yule mwenye kutufanyia ghushi hatokani na sisi.”
Katika tamko lingine imekuja:
“Mwenye kufanya ghushi hatokani nami.”
Ameipokea Muslim.
Ghushi ni hadaa, usaliti, kupoteza amana na kupoteza uaminifu kati ya watu. Kila chumo linalotokana na ghushi basi hilo ni chumo baya na la haramu. Halimzidishii mwenye nalo isipokuwa kuwa mbali zaidi na Allaah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 71
Imechapishwa: 23/04/2021
https://firqatunnajia.com/58-mfungaji-anatakiwa-kujiepusha-na-kufanya-ghushi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)