Swali 31: Katika baadhi ya miji mchana unarefuka urefu usiokuwa wa kawaida ambapo wakati mwingine yanafika masaa ishirini. Je, waislamu katika miji hiyo wanatakikana kufunga mchana mzima?
Jibu: Ndio, wanatakikana kufunga mchana mzima. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَالْآنَ بَاشِرُوهُنَّ وَابْتَغُوا مَا كَتَبَ اللَّـهُ لَكُمْ ۚ وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِۖ ثُمَّ أَتِمُّوا الصِّيَامَ إِلَى اللَّيْلِ
“Basi sasa changanyikeni nao [waingilieni] na tafuteni Aliyokuandikieni Allaah kwenu. Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku. Kisha timizeni swawm mpaka usiku.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiku ukija hapa [mashariki] na ukaondoka mchana hapa [magharibi] na likazama jua, basi amekwishafungua mfungaji.”[2]
[1] 02:187
[2] al-Bukhaariy (1954) na Muslim (2526).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 29-30
- Imechapishwa: 23/04/2021
Swali 31: Katika baadhi ya miji mchana unarefuka urefu usiokuwa wa kawaida ambapo wakati mwingine yanafika masaa ishirini. Je, waislamu katika miji hiyo wanatakikana kufunga mchana mzima?
Jibu: Ndio, wanatakikana kufunga mchana mzima. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَالْآنَ بَاشِرُوهُنَّ وَابْتَغُوا مَا كَتَبَ اللَّـهُ لَكُمْ ۚ وَكُلُوا وَاشْرَبُوا حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَكُمُ الْخَيْطُ الْأَبْيَضُ مِنَ الْخَيْطِ الْأَسْوَدِ مِنَ الْفَجْرِۖ ثُمَّ أَتِمُّوا الصِّيَامَ إِلَى اللَّيْلِ
“Basi sasa changanyikeni nao [waingilieni] na tafuteni Aliyokuandikieni Allaah kwenu. Kuleni na kunyweni mpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri katika weusi wa usiku. Kisha timizeni swawm mpaka usiku.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Usiku ukija hapa [mashariki] na ukaondoka mchana hapa [magharibi] na likazama jua, basi amekwishafungua mfungaji.”[2]
[1] 02:187
[2] al-Bukhaariy (1954) na Muslim (2526).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 29-30
Imechapishwa: 23/04/2021
https://firqatunnajia.com/31-swawm-katika-nchi-za-skandinavia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)