Swali 57: Kama inavotambulika mswaliji akiwa mmoja basi anasimama kuliani mwa imamu. Je, imesuniwa kwake kusogea nyuma kidogo kama tunavoona baadhi wakifanya?
Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah kwa mswaliji akiwa peke yake asimame upande wa kuliani mwa imamu hali ya kulingana naye. Hakuna katika dalili za ki-Shari´ah yanayofahamisha kinyume chake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 60-61
- Imechapishwa: 07/09/2022
Swali 57: Kama inavotambulika mswaliji akiwa mmoja basi anasimama kuliani mwa imamu. Je, imesuniwa kwake kusogea nyuma kidogo kama tunavoona baadhi wakifanya?
Jibu: Kilichowekwa katika Shari´ah kwa mswaliji akiwa peke yake asimame upande wa kuliani mwa imamu hali ya kulingana naye. Hakuna katika dalili za ki-Shari´ah yanayofahamisha kinyume chake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 60-61
Imechapishwa: 07/09/2022
https://firqatunnajia.com/57-mswaliji-anasimama-msitari-mmoja-sawasawa-na-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)