Swali 56: Ni ipi hukumu ya uimamu wa ambaye anafanya baadhi ya madhambi kama uvutaji sigara, unyoaji ndevu, uburutaji nguo au mfano wake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi akiswali kama ilivyowekwa na Allaah katika Shari´ah kwa maafikiano ya wanazuoni. Vivyo hivyo swalah ya wale walioko nyuma yake kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanazuoni. Lakini kafiri swalah yake haisihi wala ya wale walioko nyuma yake kwa kukosekana sharti yake ambayo ni Uislamu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 60
Swali 56: Ni ipi hukumu ya uimamu wa ambaye anafanya baadhi ya madhambi kama uvutaji sigara, unyoaji ndevu, uburutaji nguo au mfano wake?
Jibu: Swalah yake ni sahihi akiswali kama ilivyowekwa na Allaah katika Shari´ah kwa maafikiano ya wanazuoni. Vivyo hivyo swalah ya wale walioko nyuma yake kwa mujibu wa maoni sahihi zaidi ya wanazuoni. Lakini kafiri swalah yake haisihi wala ya wale walioko nyuma yake kwa kukosekana sharti yake ambayo ni Uislamu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 60
https://firqatunnajia.com/56-uimamu-wa-mtenda-maasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)