2 – Qadariyyah. Wanasema kuwa mja ni mwenye kujitosheleza kwa matendo yake na kwamba Allaah hana matakwa, uwezo wala kuyaumba. Tunawaraddi kwa mambo mawili:
1 – Jambo hilo linaenda kinyume na maneno Yake (Ta´ala):
اللَّـهُ خَالِقُ كُلِّ شَيْءٍ
”Allaah ni Muumbaji wa kila jambo.”[1]
وَاللَّـهُ خَلَقَكُمْ وَمَا تَعْمَلُونَ
“Allaah amekuumbeni pamoja na vile mnavovifanya.”[2]
2 – Allaah ndiye anayemiliki mbingu na ardhi. Vipi katika ufalme Wake kutakuwa yale ambayo hayahusiani na matakwa na uumbaji Wake?
[1] 39:62
[2] 37:96
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´aliyq mukhtaswar ´alaa Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 96
- Imechapishwa: 06/11/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)