Tumewaomba Jahmiyyah, wanaodai kwamba Allaah yuko kila mahali na hakuna maeneo ambapo anakosekana, tuelezeni kuhusu maneno ya Allaah (´Azza wa Jall):
فَلَمَّا تَجَلَّىٰ رَبُّهُ لِلْجَبَلِ جَعَلَهُ دَكًّا وَخَرَّ مُوسَىٰ صَعِقًا
”Mola wako alipojidhihirisha katika jabali akalifanya livurugike kuwa vumbi na Muusa akaanguka hali ya kuzimia.”[1]
Ni vipi atajionyesha kwa mlima ikiwa mambo ni kama mnavodai kwamba yuko ndani yake? Angelikuwa ndani yake kama mnavyodai basi angejionyesha kwao. Lakini Allaah (Jalla wa ´Alaa) yuko juu ya ´Arshi na alijidhihirisha kwa kitu ambacho Yeye hakuwa ndani yake. Vilevile mlima uliona kitu ambacho haukupatapo kukiona kabla ya hapo[2].
[1] 7:143
[2] Ibn ´Aqiyl al-Hanbaliy amesema:
”Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) ameandika kitabu kinachoitwa ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah wal-Qadariyyah.” (al-Aadaab ash-Shar´iyyah (1/274))
Ibn Taymiyyah amesema:
”Kama alivosema Imaam Ahmad katika kitabu chake ”ar-Radd ´alaaz-Zanaadiqah wal-Jahmiyyah.” (Tafsiyr Suurat-il-Ikhlaasw, uk. 239)
Ibn Kathiyr amesema:
”… na hivo ndivo alivosema Ahmad bin Hanbal katika kitabu ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah” (Tafsiyr al-Qur-aan al-´Adhwiym (3/304))
Ibn Hajar al-´Asqalaaniy amesema:
”Amesema waziwazi Ahmad katika kitabu “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah.” (Fath-ul-Baariy (13/598))
- Mhusika: Imaam Ahmad bin Hanbal (afk. 241)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah, uk. 170-171
- Imechapishwa: 05/05/2024
Tumewaomba Jahmiyyah, wanaodai kwamba Allaah yuko kila mahali na hakuna maeneo ambapo anakosekana, tuelezeni kuhusu maneno ya Allaah (´Azza wa Jall):
فَلَمَّا تَجَلَّىٰ رَبُّهُ لِلْجَبَلِ جَعَلَهُ دَكًّا وَخَرَّ مُوسَىٰ صَعِقًا
”Mola wako alipojidhihirisha katika jabali akalifanya livurugike kuwa vumbi na Muusa akaanguka hali ya kuzimia.”[1]
Ni vipi atajionyesha kwa mlima ikiwa mambo ni kama mnavodai kwamba yuko ndani yake? Angelikuwa ndani yake kama mnavyodai basi angejionyesha kwao. Lakini Allaah (Jalla wa ´Alaa) yuko juu ya ´Arshi na alijidhihirisha kwa kitu ambacho Yeye hakuwa ndani yake. Vilevile mlima uliona kitu ambacho haukupatapo kukiona kabla ya hapo[2].
[1] 7:143
[2] Ibn ´Aqiyl al-Hanbaliy amesema:
”Imaam Ahmad (Rahimahu Allaah) ameandika kitabu kinachoitwa ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah wal-Qadariyyah.” (al-Aadaab ash-Shar´iyyah (1/274))
Ibn Taymiyyah amesema:
”Kama alivosema Imaam Ahmad katika kitabu chake ”ar-Radd ´alaaz-Zanaadiqah wal-Jahmiyyah.” (Tafsiyr Suurat-il-Ikhlaasw, uk. 239)
Ibn Kathiyr amesema:
”… na hivo ndivo alivosema Ahmad bin Hanbal katika kitabu ”ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah” (Tafsiyr al-Qur-aan al-´Adhwiym (3/304))
Ibn Hajar al-´Asqalaaniy amesema:
”Amesema waziwazi Ahmad katika kitabu “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah.” (Fath-ul-Baariy (13/598))
Mhusika: Imaam Ahmad bin Hanbal (afk. 241)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah waz-Zanaadiqah, uk. 170-171
Imechapishwa: 05/05/2024
https://firqatunnajia.com/50-kama-allaah-alikuwa-ndani-ya-mlima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)