Swali 49: Je, inafaa kumswalia maiti katika maosheo kwa ambaye hawezi kumswalia msikitini pamoja na watu wengine[1]?
Jibu: Hapana vibaya kufanya hivo ikiwa mahali hapo ni pasafi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/157).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 38
- Imechapishwa: 24/12/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)