Swali 49: Je, inafaa kumswalia maiti katika maosheo kwa ambaye hawezi kumswalia msikitini pamoja na watu wengine[1]?
Jibu: Hapana vibaya kufanya hivo ikiwa mahali hapo ni pasafi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/157).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 38
- Imechapishwa: 24/12/2021
Swali 49: Je, inafaa kumswalia maiti katika maosheo kwa ambaye hawezi kumswalia msikitini pamoja na watu wengine[1]?
Jibu: Hapana vibaya kufanya hivo ikiwa mahali hapo ni pasafi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/157).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 38
Imechapishwa: 24/12/2021
https://firqatunnajia.com/49-kumswalia-maiti-katika-maosheo/