47 – Muhammad bin Abiy Bakr ametuhaditihia: Mu´tamir ametuhaditihia, kutoka kwa Layth, kutoka kwa Ka´b, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
صلوا عليَّ فإن صلاتكم عليَّ زكاة لكم، وسلوا الله لي الوسيلة
”Niswalieni. Kwani hakika du´aa zenu kwangu ni utakaso kwenu. Na niombeeni kwa Allaah Njia (الوسيلة).” Ima walimuuliza au yeye mwenyewe ndiye aliwaeleza. Akasema: ”Ni ngazi ya juu zaidi Peponi. Hakuna atakayeipata isipokuwa mtu mmoja, na nataraji mimi ndiye.”[1]
[1] Kuna Swahabah anayekosekana katika cheni ya wapokezi kwa sababu ya al-Layth. Kuna wengine mbali na Mu´tamir wameipokea kutoka kwake hali ya kuungana cheni ya wapokezi, kama ilivyobainishwa katika Hadiyth ilio kabla yake.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 49-50
- Imechapishwa: 18/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
47 – Muhammad bin Abiy Bakr ametuhaditihia: Mu´tamir ametuhaditihia, kutoka kwa Layth, kutoka kwa Ka´b, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
صلوا عليَّ فإن صلاتكم عليَّ زكاة لكم، وسلوا الله لي الوسيلة
”Niswalieni. Kwani hakika du´aa zenu kwangu ni utakaso kwenu. Na niombeeni kwa Allaah Njia (الوسيلة).” Ima walimuuliza au yeye mwenyewe ndiye aliwaeleza. Akasema: ”Ni ngazi ya juu zaidi Peponi. Hakuna atakayeipata isipokuwa mtu mmoja, na nataraji mimi ndiye.”[1]
[1] Kuna Swahabah anayekosekana katika cheni ya wapokezi kwa sababu ya al-Layth. Kuna wengine mbali na Mu´tamir wameipokea kutoka kwake hali ya kuungana cheni ya wapokezi, kama ilivyobainishwa katika Hadiyth ilio kabla yake.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 49-50
Imechapishwa: 18/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/47-hadiyth-niswalieni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)