Shaykh-ul-Islaam na Imaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
الرَّحْمنِ الرَّحِيمِ
“Mwingi wa huruma, Mwenye kurehemu.”[1]
Mwingi wa huruma ni huruma unaowapata viumbe wote.
Mwenye kurehemu ni huruma maalum kwa waumini. Dalili ni Kauli Yake (Ta´ala):
وَكَانَ بِالْمُؤْمِنِينَ رَحِيمًا
“Naye daima ni Mwenye kuwarehemu waumini.”[2]
MAELEZO
Mwingi wa huruma wanaingia waumini na makafiri. Miongoni mwa rehema za Allaah (Ta´ala) kwa makafiri ni pamoja na Yeye kuwaumba, kuwapa chakula, kuwanywesha, kuwaruzuku na kuwapa muda licha ya kwamba ni makafiri.
Allaah ni mwenye kuwarehemu waumini rehema maalum ambapo akawangoza, akawawafikisha kwa imani na akawasamehe.
الرَّحْمنِ الرَّحِيمِ
“Mwingi wa huruma, Mwenye kurehemu.”
Haya ni majina mawili ya Allaah (´Azza wa Jall).
[1] 01:02
[2] 33:43
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 70
- Imechapishwa: 13/06/2022
Shaykh-ul-Islaam na Imaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
الرَّحْمنِ الرَّحِيمِ
“Mwingi wa huruma, Mwenye kurehemu.”[1]
Mwingi wa huruma ni huruma unaowapata viumbe wote.
Mwenye kurehemu ni huruma maalum kwa waumini. Dalili ni Kauli Yake (Ta´ala):
وَكَانَ بِالْمُؤْمِنِينَ رَحِيمًا
“Naye daima ni Mwenye kuwarehemu waumini.”[2]
MAELEZO
Mwingi wa huruma wanaingia waumini na makafiri. Miongoni mwa rehema za Allaah (Ta´ala) kwa makafiri ni pamoja na Yeye kuwaumba, kuwapa chakula, kuwanywesha, kuwaruzuku na kuwapa muda licha ya kwamba ni makafiri.
Allaah ni mwenye kuwarehemu waumini rehema maalum ambapo akawangoza, akawawafikisha kwa imani na akawasamehe.
الرَّحْمنِ الرَّحِيمِ
“Mwingi wa huruma, Mwenye kurehemu.”
Haya ni majina mawili ya Allaah (´Azza wa Jall).
[1] 01:02
[2] 33:43
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 70
Imechapishwa: 13/06/2022
https://firqatunnajia.com/41-maana-ya-ar-rahmaan-ar-rahiym/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)