Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
40 – Tumeyaamini yote hayo na tumeyakinisha kuwa yote ni yenye kutoka Kwake.
MAELEZO
Tunamwabudu Alllaah kwa yote yaliyotangulia kutajwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa kitabu hiki. Si kwamba ni maneno tunayoyasema kwa ndimi zetu peke yake, bali yanayoka kwenye mioyo yetu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 55
- Imechapishwa: 09/11/2022
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
40 – Tumeyaamini yote hayo na tumeyakinisha kuwa yote ni yenye kutoka Kwake.
MAELEZO
Tunamwabudu Alllaah kwa yote yaliyotangulia kutajwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa kitabu hiki. Si kwamba ni maneno tunayoyasema kwa ndimi zetu peke yake, bali yanayoka kwenye mioyo yetu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 55
Imechapishwa: 09/11/2022
https://firqatunnajia.com/40-yote-yaliyomo-ndani-tunayaamini/