Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
40 – Tumeyaamini yote hayo na tumeyakinisha kuwa yote ni yenye kutoka Kwake.
MAELEZO
Tunamwabudu Alllaah kwa yote yaliyotangulia kutajwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa kitabu hiki. Si kwamba ni maneno tunayoyasema kwa ndimi zetu peke yake, bali yanayoka kwenye mioyo yetu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 55
- Imechapishwa: 09/11/2022
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
40 – Tumeyaamini yote hayo na tumeyakinisha kuwa yote ni yenye kutoka Kwake.
MAELEZO
Tunamwabudu Alllaah kwa yote yaliyotangulia kutajwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa kitabu hiki. Si kwamba ni maneno tunayoyasema kwa ndimi zetu peke yake, bali yanayoka kwenye mioyo yetu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 55
Imechapishwa: 09/11/2022
https://firqatunnajia.com/40-yote-yaliyomo-ndani-tunayaamini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)