40 – ´Aarim ametuhadithia: Jariyr bin Haazim ametuhadithia, kutoka kwa al-Hasan, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
أكثروا عليَّ من الصلاة يوم الجمعة
”Niswalieni kwa wingi siku ya ijumaa.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni nzuri, lakini kuna Swahabah anayekosekana. Inatiliwa nguvu na Hadiyth ya (22).
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 46
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
40 – ´Aarim ametuhadithia: Jariyr bin Haazim ametuhadithia, kutoka kwa al-Hasan, ambaye amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
أكثروا عليَّ من الصلاة يوم الجمعة
”Niswalieni kwa wingi siku ya ijumaa.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni nzuri, lakini kuna Swahabah anayekosekana. Inatiliwa nguvu na Hadiyth ya (22).
Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 46
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/40-hadiyth-niswalieni-kwa-wingi-siku-ya-ijumaa/