na huenda amelisema na huku akidhani ya kwamba yanamkurubisha kwa Allaah, kama walivyokuwa wakidhani washirikina,
MAELEZO
Anaweza kutamka neno la kufuru na huku akidhani kuwa limemkurubisha. Kama mfano walivyokuwa wakisema washirikina:
مَا نَعْبُدُهُمْ إِلَّا لِيُقَرِّبُونَا إِلَى اللَّـهِ زُلْفَىٰ
“Hatuwaabudu isipokuwa ili watukurubishe kwa Allaah ukaribio.” (39:03)
هَـٰؤُلَاءِ شُفَعَاؤُنَا عِندَ اللَّـهِ
“Hawa ni waombezi wetu mbele ya Allaah.” (10:18)
- Muhusika: maam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 54
- Imechapishwa: 30/11/2016
na huenda amelisema na huku akidhani ya kwamba yanamkurubisha kwa Allaah, kama walivyokuwa wakidhani washirikina,
MAELEZO
Anaweza kutamka neno la kufuru na huku akidhani kuwa limemkurubisha. Kama mfano walivyokuwa wakisema washirikina:
مَا نَعْبُدُهُمْ إِلَّا لِيُقَرِّبُونَا إِلَى اللَّـهِ زُلْفَىٰ
“Hatuwaabudu isipokuwa ili watukurubishe kwa Allaah ukaribio.” (39:03)
هَـٰؤُلَاءِ شُفَعَاؤُنَا عِندَ اللَّـهِ
“Hawa ni waombezi wetu mbele ya Allaah.” (10:18)
Muhusika: maam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 54
Imechapishwa: 30/11/2016
https://firqatunnajia.com/38-mtu-anaweza-kukufuru-kwa-neno-moja-tu-bila-ya-kujua-ii/