na huenda amelisema na huku akidhani ya kwamba yanamkurubisha kwa Allaah, kama walivyokuwa wakidhani washirikina,
MAELEZO
Anaweza kutamka neno la kufuru na huku akidhani kuwa limemkurubisha. Kama mfano walivyokuwa wakisema washirikina:
مَا نَعْبُدُهُمْ إِلَّا لِيُقَرِّبُونَا إِلَى اللَّـهِ زُلْفَىٰ
“Hatuwaabudu isipokuwa ili watukurubishe kwa Allaah ukaribio.” (39:03)
هَـٰؤُلَاءِ شُفَعَاؤُنَا عِندَ اللَّـهِ
“Hawa ni waombezi wetu mbele ya Allaah.” (10:18)
- Mhusika: maam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 54
- Imechapishwa: 30/11/2016
na huenda amelisema na huku akidhani ya kwamba yanamkurubisha kwa Allaah, kama walivyokuwa wakidhani washirikina,
MAELEZO
Anaweza kutamka neno la kufuru na huku akidhani kuwa limemkurubisha. Kama mfano walivyokuwa wakisema washirikina:
مَا نَعْبُدُهُمْ إِلَّا لِيُقَرِّبُونَا إِلَى اللَّـهِ زُلْفَىٰ
“Hatuwaabudu isipokuwa ili watukurubishe kwa Allaah ukaribio.” (39:03)
هَـٰؤُلَاءِ شُفَعَاؤُنَا عِندَ اللَّـهِ
“Hawa ni waombezi wetu mbele ya Allaah.” (10:18)
Mhusika: maam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 54
Imechapishwa: 30/11/2016
https://firqatunnajia.com/38-mtu-anaweza-kukufuru-kwa-neno-moja-tu-bila-ya-kujua-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)