38 – Sulaymaan bin Harb ametuhadithia: Jariyr bin Hazm ametuhadithia: Nimemsikia al-Hasan akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
بحسب امرئ في البخل أن أذكر عنده فلا يصل علي
”Inatosha kuonyesha ubakhili wa mtu, kwamba nitatajwa mbele yake na asiniswalie.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh, lakini kuna Swahabah anayekosekana. Hata hivyo inatiwa nguvu na yale mapokezi yaliyo kabla yake.
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 45
- Imechapishwa: 15/01/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
38 – Sulaymaan bin Harb ametuhadithia: Jariyr bin Hazm ametuhadithia: Nimemsikia al-Hasan akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
بحسب امرئ في البخل أن أذكر عنده فلا يصل علي
”Inatosha kuonyesha ubakhili wa mtu, kwamba nitatajwa mbele yake na asiniswalie.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni Swahiyh, lakini kuna Swahabah anayekosekana. Hata hivyo inatiwa nguvu na yale mapokezi yaliyo kabla yake.
Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 45
Imechapishwa: 15/01/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/38-hadiyth-inatosha-kuonyesha-ubakhili-wa-mtu/