39 – Salm bin Sulaymaan adh-Dhwabbiy ametuhadithia: Abu Hurrah ametuhadithia, kutoka kwa al-Hasan: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
كفى به شحاً أن يذكرني قوم فلا يصلون عليَّ
”Inatosha kuwa uchoyo, kwamba kuna watu watanitaja na wasiniswalie.”[1]
Ee Allaah msifu na msalimishe.
[1] Cheni ya wapokezi ni dhaifu na kuna Swahabah anayekosekana. Lakini inatiwa nguvu ya yale mapokeiz yaliyotangulia.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 45-46
- Imechapishwa: 15/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
39 – Salm bin Sulaymaan adh-Dhwabbiy ametuhadithia: Abu Hurrah ametuhadithia, kutoka kwa al-Hasan: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
كفى به شحاً أن يذكرني قوم فلا يصلون عليَّ
”Inatosha kuwa uchoyo, kwamba kuna watu watanitaja na wasiniswalie.”[1]
Ee Allaah msifu na msalimishe.
[1] Cheni ya wapokezi ni dhaifu na kuna Swahabah anayekosekana. Lakini inatiwa nguvu ya yale mapokeiz yaliyotangulia.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 45-46
Imechapishwa: 15/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/39-hadiyth-inatosha-kuwa-uchoyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)