37 – Hajjaaj bin al-Minhaal ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa Ma´bad bin Hilaal al-´Anaziy: Amenihadithia bwana mmoja kutokea Dameski, kutoka kwa ´Awf bin Maalik, kutoka kwa Abu Dharr, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
إن أبخل الناس من ذكرت عنده فلم يصلِّ عليَّ
”Bakhili zadi katika watu ni yule ambaye nitatajwa mbele yake na asiniswalie.”[1]
Allaah amsifu na amsalimishe.
[1] Hadiyth ni Swahiyh kupitia iliotangulia na inayokuja mbele zinazoitia nguvu. Wanamme wa cheni ya wapokezi ni waaminifu isipokuwa mabwana wawili ambao hawakutajwa majina. Ameipokea Ibn Abiy ´Aaswim katika “Kitaab-us-Swalaah” kupitia njia nyingine kutoka kwa ´Aliy bin Zayd, kutoka kwa al-Qaasim, kutoka kwa Abu Dharr. Moja kati ya njia hizo mbili inaitia nguvu nyingine.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 45
- Imechapishwa: 15/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
37 – Hajjaaj bin al-Minhaal ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa Ma´bad bin Hilaal al-´Anaziy: Amenihadithia bwana mmoja kutokea Dameski, kutoka kwa ´Awf bin Maalik, kutoka kwa Abu Dharr, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
إن أبخل الناس من ذكرت عنده فلم يصلِّ عليَّ
”Bakhili zadi katika watu ni yule ambaye nitatajwa mbele yake na asiniswalie.”[1]
Allaah amsifu na amsalimishe.
[1] Hadiyth ni Swahiyh kupitia iliotangulia na inayokuja mbele zinazoitia nguvu. Wanamme wa cheni ya wapokezi ni waaminifu isipokuwa mabwana wawili ambao hawakutajwa majina. Ameipokea Ibn Abiy ´Aaswim katika “Kitaab-us-Swalaah” kupitia njia nyingine kutoka kwa ´Aliy bin Zayd, kutoka kwa al-Qaasim, kutoka kwa Abu Dharr. Moja kati ya njia hizo mbili inaitia nguvu nyingine.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 45
Imechapishwa: 15/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/37-hadiyth-bakhili-zadi-katika-watu-ni-yule-ambaye/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)