Swali 35: Mfungaji kukhitimisha Qur-aan katika Ramadhaan kunazingatiwa ni jambo la lazima?
Jibu: Mfungaji kukhitimisha Qur-aan katika Ramadhaan sio jambo la lazima. Lakini mtu katika Ramadhaan anatakiwa kusoma Qur-aan kwa wingi. Hiyo ndio ilikuwa Sunnah ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Jibriyl alikuwa akimfunza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Qur-aan kila Ramadhaan.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 32
- Imechapishwa: 24/04/2021
Swali 35: Mfungaji kukhitimisha Qur-aan katika Ramadhaan kunazingatiwa ni jambo la lazima?
Jibu: Mfungaji kukhitimisha Qur-aan katika Ramadhaan sio jambo la lazima. Lakini mtu katika Ramadhaan anatakiwa kusoma Qur-aan kwa wingi. Hiyo ndio ilikuwa Sunnah ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Jibriyl alikuwa akimfunza (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Qur-aan kila Ramadhaan.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 48 mas-alatu fiy Swiyaam, uk. 32
Imechapishwa: 24/04/2021
https://firqatunnajia.com/35-mfungaji-kukhitimisha-qur-aan-ni-jambo-la-lazima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)